Tuesday, July 30, 2024

TUOMBEE TAIFA LETU TANZANIA

Shalom karibu tena Tushiriki pamoja Neno la Bwana kutoka kwa bishop victory kiluguma .         1TIMOTHEO 2 :1-7.   Basi kabla ya mambo yote,nataka dua na sala,na maombezi,na shukurani,zifanyike kwaajili ya watu wote; 2 kwaajili ya wafalme na wote wenye mamlaka,tuishi maisha ya  amani,katika utsuwa wote na ustahivu.3 hili ni zuri,nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu; 4 ambaye hutaka wetu wote waokolewe,na kujua yaliyo kweli. ISA YA 60:12 KWA MAANA KILA TAIFA NA UFALME WA WATU WASIOTAKA KUKUTUMIKIA WATAANGAMIA;NAAM,WATAHARIBIWAKABISA.Bwana asifiwe! wapendwa watu wa Mungu tuombee Taifa letu zuri la Tanzania,MITHAL 11:14 PASIPO MASHAURI TAIFA HUANGUKA;BARI KWA WINGI WA WASHAURI HUJA WOKOVU.tumwombee Rais wa inchi Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan; tumwombee Mkamu wa Rais Mheshimiwa Filippo mpango, tumwombee Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa Majaliwa;tuwaombee mawaziri wote
 Tuwaombee Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya wote viongozi wote waserikali inchini.tuwaombee watanzania wote, Tuwaombee maaskofu Wakuu,maaskofu wa majimbo,au mikoa maaskofu,wa wilaya na Wachungaji wote.Tuliombee kanisa la Mungu Tanzania.MITHALI 12:10-11, WENYE HAKI WASTAWIPO,MJI HUFURAHI;WAOVU WAANGAMIAPO,WATU HUPIGA KELELE.11 MJI HUTUKUZWA KWA MBARAKA WA MWENYE HAKI.YOHELI 2:17 HAO MAKUHANI,WAHUDUMU WA BWANA,NA WLIE KATI YA PATAKATIFU ​​NA MADHABAHU,NAACH,WASEME,WASEME, WALA USIUTOE URITHI WAKO UPATE AIBU,HATA MATAIFA WAWATAWALE JUU YAO;KWANI WASEME,KATI YA WATU,YUKO WAPI MUNGU WAO? 18 HAPO NDIPO BWANA ALIPOONA WIVU KWAAJILI YA INCHI YAKE AKAWAHURUMIA WATU WAKE.19 BWANA AKAJIBU,AKAWAMBIA WATU WAKE;TAZAMENI,NITAWALETEA NAFAKA,NA DIVAI,NA MAFUTA,NANYI MTASHIBA KWA VITU HIVYO;WALA SITAWAFANYA WAKE; LA KASKAZINI NITALIONDOLEA MBALI NANYI,NAMI NITALIFUKUZA MPAKA INCHI YA UKAME NA UKIWA;SEHEMU YAKE YA MBELE ITAINGIA KATIKA BAALI YA MAGHARIBI;NA UVUNDO WAKE UTAPANDA JUU,NA HARUFU YAKE MBAYA ITAPANDA JUU,KWA SABABU AMETENDA MAMBO. 21 Ee INCHI USIOGOPE; FURAHI NA KUSHANGILIA, KWA KUWA BWANA AMETENDA MAMBO MAKUBWA.AMEN! ungependa kuwasiliana nami kwa ushauri na maombi karibu Nipigie kwa 0612083598 au niandikie pastorvictorykiluguma@blogspot.com Amen Bwana awabariki sana


 

No comments:

Post a Comment