MPANGO WA MUNGU KUKUFANIKISHA NA KUKUSTAWISHA. ZEKARIA 1:17. piga kelele tena na kusema, Bwana wa majeshi asema hivi, kwa kufanikiwa itaeneza huko na huko tena; Naye Bwana ataufajili sayuni tena,atauchagua yerusalemu tena. ZABURI 122:6-9 utakieni yerusalemu amani na wafanikiwe wakupendao amani na ikae ndani ya kuta zako na kufanikiwa ndani ya majumba yako. Kwa ajili ya ndugu zangu na Rafiki zangu. Niseme sasa amani ikae nawe kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu. ZABURI 35:27 washangilie na kufurahi, wapendezwao na haki yangu. Naam waseme daima atukuzwe Bwana, apendezwae na amani ya Mtumishi wake. AYUBU 36:11. Kama wakisikia na Kumtumikia watapisha siku zao katika kufanikiwa, na miaka yao katika furaha. YOSHUA 1:8 kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako,bali tafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia na kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako,kisha ndipo utakapo sitawi sana. HALELUYA NAAMINI UJUMBE HUU UMEFANYIKA BARAKA KWAKO MSOMAJI MTU WA MUNGU BWANA AKUBARIKI NAMI NAKUOMBEA UFANIKIWE NA KUSITAWI KWA JINA LA YESU KRISTO. MUNGU ALIE HAI MUUMBA NA MWOKOZI AKATHIBITISHE NENO LAKE KATIKA MAISHA YAKO. BWANA AKUBARIKI SANA IWAPO UNEPENDA USHAURI AU MAOMBI TAFADHALI NIANDIKIE KWA GMAIL: winningkiluguma80@gmail.com au nipigie kwa 0612083598 au kwa blog hii pastorvictorykilugumablogspot
Monday, July 8, 2024
MPANGO WA MUNGU KUKUFANIKISHA NA KUKUSTAWISHA. ZEKARIA 1:17. piga kelele tena na kusema, Bwana wa majeshi asema hivi, kwa kufanikiwa itaeneza huko na huko tena; Naye Bwana ataufajili sayuni tena,atauchagua yerusalemu tena. ZABURI 122:6-9 utakieni yerusalemu amani na wafanikiwe wakupendao amani na ikae ndani ya kuta zako na kufanikiwa ndani ya majumba yako. Kwa ajili ya ndugu zangu na Rafiki zangu. Niseme sasa amani ikae nawe kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu. ZABURI 35:27 washangilie na kufurahi, wapendezwao na haki yangu. Naam waseme daima atukuzwe Bwana, apendezwae na amani ya Mtumishi wake. AYUBU 36:11. Kama wakisikia na Kumtumikia watapisha siku zao katika kufanikiwa, na miaka yao katika furaha. YOSHUA 1:8 kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako,bali tafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia na kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako,kisha ndipo utakapo sitawi sana. HALELUYA NAAMINI UJUMBE HUU UMEFANYIKA BARAKA KWAKO MSOMAJI MTU WA MUNGU BWANA AKUBARIKI NAMI NAKUOMBEA UFANIKIWE NA KUSITAWI KWA JINA LA YESU KRISTO. MUNGU ALIE HAI MUUMBA NA MWOKOZI AKATHIBITISHE NENO LAKE KATIKA MAISHA YAKO. BWANA AKUBARIKI SANA IWAPO UNEPENDA USHAURI AU MAOMBI TAFADHALI NIANDIKIE KWA GMAIL: winningkiluguma80@gmail.com au nipigie kwa 0612083598 au kwa blog hii pastorvictorykilugumablogspot

1 comment:
Amen
Post a Comment